SURA YA SITA
DALILI 20 ZA MPENZI
ASIYEKUPENDA
(1)
Haonyeshi
nia ya kujali maisha yako haswa katika mambo madogo madogo kama vile
kukukumbuka na kukupigia simu au kutuma ujumbe mfupi. Atajifanya yuko bize sana
na hana muda wa kujenga penzi lenu.
(2)
Haonyeshi
hamu ya kuboresha uhusiano wenu katika maeneo mbalimbali. Hakuna mambo mapya
yanayoweza kuongezea utamu katika uhusiano wenu.
(3)
Huanzisha
mzozo ugomvi bila kujali athari yake kwa uhusiano wenu kwa ujumla.Anajua vitu
ambavyo huvipendi lakini bado anaendelea navyo bila kujali hisia zako. Kwa
mfano anajua hupendi ukipiga simu isipokelewe lakini zaidi ya mara 2 imetokea
hivyo. Asikudanganye kuwa alisahau sebuleni kwani anaekupenda atathamini mawasiliano
na ni muhimu kwake atarajie kupigiwa na wewe.
(4)
Mara
nyingine hukwepa kuzungumzia mambo ya sasa na kupendelea kuzungumzia mambo ya
baadae kama vile kufunga ndoa au miradi mingine ya kimaisha.
(5)
Wazazi
wake hawakufahamu vizuri au hakusifii kwa wazazi wake au marafiki zake.
(6)
Mara
nyingi husema kuwa hana uhakika juu ya mambo ya mbele ya uhusiano wenu na
kutumia lugha ya “ni mapema sana” au kusema hajui la kukuambia juu ya maisha au
mwenendo wake wa baadae.
(7)
Hakuamini
vya kutosha na hivyo kuonyesha wasiwasi katika maeneo mengi jambo ambalo
linakukosesha raha.
(8)
Unapata
shida kuongelea juu ya mambo ambayo ni ya muhimu sana kwako kwa kuwa huenda
atayapuuzia au kutoonyesha ushirikiano. Hii ni moja kati ya dalili kubwa sana
ya kuangalia.
(9)
Huwezi
kuanzisha mazungumzo juu ya mapungufu unayoyaona katika uhusiano wenu bila ya
kuanzisha ugomvi.
(10) Anaweza kukutukana
au kuonyesha dharau kwako mbele za watu na hata kama ni utani tambua kuwa anaonyesha
kuwa hupendwi na huheshimiwi.
(11) Tendo la ndoa ni kwa
ajili yake pekee na hajali haja yako au kuridhika kwako katika tendo hilo.
(12) Hayuko tayari
kukufanyia mambo mazuri sawa na yale unayomfanyia wewe.ANAPENDA na kusisitiza
kuwa anastahili hili na lile lakini hathamini
haja za moyo wako.
(13) Haonyeshi kwa watu
wengine kuwa kwake wewe ni muhimu na wa kipekee na hukwepa kuonekana na wewe
mara kwa mara.
(14) Mara nyingine
anapenda kutoka peke yake na hahangaiki kutafuta muda wa kukaa nawe. Kama
mahali mnapokuwa pamoja ni kitandani tu fahamu kuwa hakupendi hata kama
anakuimbia wimbo wa NAKUPENDA kila sekunde.
(15) Anakasirika kwa
urahisi sana awapo na wewe. Uonapo anapokasirika mara kwa mara husema maneno ya
dharau au kukutukana basi juwa kwamba hupendwi
bali anakuvumilia tu.
(16) Anapata shida
kuomba msamaha anapokosea kwa kuwa kwake unaonekana kuwa upo katika maisha yake
kimakosa, yaani unakosea kuendeleza uhusiano wenu.
(17) Anapata shida
kuendeleza maongezi anapokuwa na wewe peke yenu.
(18) Sio mwaminifu kwako.
(19) Hufanya utani juu
ya mambo ambayo anajua kuwa ni muhimu kwako.
(20) Anapenda
kujinunulia mwenyewe vitu vipya bila kujali kuwa na wewe ungefurahia vitu vipya
na si mtoaji mzuri wa zawadi.
Najifunza
ReplyDeletePESA/UTAJIRI WA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
ReplyDeleteMPAKA MASAA 48(SIKU 2) PAPO HAPO ULIPO KUPITIA KALAMA KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
HIZI NI DAWA NA MUDA WA UKAMILIFU WAKE NA KUKUKABIDHI
MAJINI ZIPO AINA 3
1. GHUUL(chma ulete)....Siku 5
2.SAIFRAHAN(Jini wa kufuga)...Siku 6 n.k
3.SAIFRAHA(jini wa bahati)....masaa 24
NDAGU ZIPO AINA 6
1.MTU.....week 1 na nusu
2.MIMBA....siku 5
3.UTASA....masaa 72(siku tatu)
4.ULEMAVU....siku tano
5.NDUGU WATATU...siku sita
6.WANYAMA.....masaa 48
KARIBU UPATE UFAFANUZI UCHAGUE UIPENDAYO KILA MOJA NA MASHARTI YAKE.
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
HACHA KUTANGATANGA PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI
NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI NA KUTUNZA SIRI......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
PIGA SIMU/Whatsup +255 742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA SIMU KUEPUKA MATAPELI